News
Uganda kuharibu chanjo za Uviko-19 zenye thamani ya dola milioni 7.4
Uganda kuharibu chanjo za Uviko-19 zenye thamani ya dola milioni 7.4.
Uganda itaharibu chanjo za Uviko-19 zenye thamani ya dola milioni 7.4 zilizoisha muda wake, kufuatia kupugua kwa mahitaji ya chanjo hizo, huku dozi zaidi za chanjo hiyo zikitarajiwa kuisha muda wake kufikia mwishoni mwa mwaka.
Taifa hilo lilitumia fedha za mkopo kutoka Benki ya Dunia kuagiza chanjo hizo, na karibu nusu ya dozi milioni 12.6 zimeisha muda wake
-
Uzazi/Ujauzito5 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Magonjwa4 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Uzazi/Ujauzito3 days ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Magonjwa7 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Magonjwa2 days ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani
-
Events6 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News4 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
Utafiti22 hours ago
Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya-WHO