Connect with us

CHANJO

Zambia imepokea dozi milioni 1.4 za chanjo kwa ajili ya ugonjwa wa kipindupindu

Doctor Ombeni

Published

on

Imeboreshwa July 28, 2026 by Doctor Ombeni

Zambia imepokea dozi milioni 1.4 za chanjo kwa ajili ya ugonjwa wa kipindupindu.

Zambia imepokea dozi milioni 1.4 za chanjo zitakazosaidia kupambana na ugonjwa wa kipindupindu uliolilikumba taifa hilo la Kusini mwa Afrika tangu mwezi Oktoba mwaka jana.

Umoja wa Mataifa umeidhinisha hizo. Kulingana na data za hivi karibuni zilizotolewa na wizara ya afya mjini Lusaka, mpaka sasa zaidi ya watu 365 wamekufa kutokana na ugonjwa huo na watu 418 wameambukizwa ugonjwa huo.

Muda wa kufunguliwa shule na vyuo umesogezwa mbele kutoka tarehe 8 Januari hadi tarehe 29 wakati serikali ikiendelea na juhudi zake za kupambana na ugonjwa huo.

🏆Certified| Doctor from Afyaclass.Hapa utapata Ushauri & Tiba juu ya magonjwa mbali mbali. Kwa msaada Zaidi Tuwasiliane kupitia namba: +255758286584.Pata dondoo za afya kila siku kwa kufuatilia kupitia: @Facebook | @Instagram | @YouTube.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *