News
Rekodi ya Mbwa Mzee Zaidi Duniani kuchunguzwa
![](https://afyaclass.com/mk_omb/uploads/2024/01/repost_photo-transformed.jpeg)
Rekodi ya Mbwa Mzee Zaidi Duniani kuchunguzwa.
Mbwa wa Ureno aitwaye Bobi aligonga vichwa vya habari mwaka jana alipotawazwa kuwa mbwa mzee zaidi kuwahi kutokea duniani na Guinness World Records (GWR) – akiipiku rekodi ya awali iliyodumu kwa karne moja.
Bobi alifariki mwezi Oktoba akiwa na umri rasmi wa miaka 31 na siku 165.
Lakini sasa rekodi yake hiyo imetiliwa shaka, baada ya baadhi ya madaktari wa mifugo kutilia shaka ushahidi wa umri wa Bobi.
Bobi alikuwa mbwa wa aina ya Rafeiro do Alentejo ambao wana wastani wa kuishi miaka 12 hadi 14.
Maafisa wa Rekodi ya dunia ya Guiness (GWR) sasa wamesitisha taji hilo na kuanzisha uchunguzi upya.
-
Magonjwa4 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Elimu&Ushauri6 days ago
Afya za watu bilioni 1.8 duniani matatani kwa kutokufanya Mazoezi – WHO
-
Uzazi/Ujauzito2 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Magonjwa1 day ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Events3 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
Uzazi/Ujauzito10 hours ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
News6 days ago
Mlipuko Mbaya wa homa ya nyani watokea tena KIVU KASKAZINI
-
News2 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani