Events
Mtu mzee zaidi duniani asherehekea siku yake ya kuzaliwa, ametimiza miaka 117
Mtu mzee zaidi duniani asherehekea siku yake ya kuzaliwa, ametimiza miaka 117
Heri ya siku ya kuzaliwa kwa Maria Branyas Morera.
Amesherehekea siku yake ya kuzaliwa, ametimiza miaka 117 tarehe 4 Machi 1907 huko San Francisco, Marekani, lakini alirudi Uhispania na familia yake alipokuwa na umri wa miaka nane na kuishi Catalonia.
Alithibitishwa kuwa mtu mzee zaidi duniani na Guinness World Records mnamo Januari 2023 🎂
Alianza kuishi katika nyumba moja ya wazee miaka 23 iliyopita.
–
📸: Guinness World Records
-
Uzazi/Ujauzito6 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Uzazi/Ujauzito4 days ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Magonjwa5 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Magonjwa3 days ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani
-
Events7 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News5 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
afyatips20 hours ago
Madhara ya damu kuwa nyingi mwilini
-
Utafiti2 days ago
Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya-WHO