News
Suala la kurejesha usimamizi TFDA kwa TMDA bado linaendelea kujadiliwa
Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel amesema suala la kurejesha usimamizi TFDA kwa TMDA bado linaendelea kujadiliwa ndani ya Serikali na litakapokamilika mapendekezo ya utekelezaji yatawasilishwa ndani ya Bunge
Dkt. Mollel amebainisha hayo wakati wa Bunge la 12, Mkutano wa 15 na kikao cha tano akijibu swali Namba 58 kutoka kwa Mbunge wa Moshi Mjini Mhe. Priscus Jacob Tarimo aliyetaka kuja Je, upi mpango wa kurejesha TFDA? kwani imeacha masuala ya chakula na inakinzana na utaratibu wa usimamizi wa chakula na madawa duniani?
“Serikali katika kuimarisha mazingira ya kibiashara nchini, ilifanya maamuzi kupitia Bunge lako tukufu ya kuhamisha majukumu ya usimamizi na udhibiti ubora wa chakula na vipodozi kutoka iliyokuwa TFDA na kuyapeleka TBS ambako ndiko afua zote za usimamizi zinatekelezwa huko kwa sasa”, ameeleza Dkt.Mollel
Credits: WizaraafyaTz
REVIEWED BY: @afyaclass
Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel amesema suala la kurejesha usimamizi TFDA kwa TMDA bado linaendelea kujadiliwa ndani ya Serikali na litakapokamilika mapendekezo ya utekelezaji yatawasilishwa ndani ya Bunge
Dkt. Mollel amebainisha hayo wakati wa Bunge la 12, Mkutano wa… pic.twitter.com/TAxtMzuLbB
— Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿 (@wizara_afyatz) April 8, 2024
-
Uzazi/Ujauzito5 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Magonjwa4 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Uzazi/Ujauzito3 days ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Magonjwa7 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Magonjwa2 days ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani
-
Events6 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News4 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
Utafiti22 hours ago
Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya-WHO