Connect with us

News

Kwa mujibu wa WHO, ni karibu theluthi moja tu ya hospitali 36 zilizoko Gaza ndizo ambazo bado zinafanya kazi

Avatar photo

Published

on

#PICHA:Mama na bintiye wanapokea huduma katika Hospitali ya Kamal Adwan kaskazini mwa Gaza mnamo Aprili 2024.

Huku mashambulizi ya mabomu yanayofanywa na jeshi la Israel yakiendelea usiku kucha katika Ukanda wa Gaza, pamoja na uvamizi wa ardhini na mapigano makali, mkuu wa Shirika la Umoja La Afya duniani WHO Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus ametoa tahadhari hii leo kwa wafanyakazi na wagonjwa katika hospitali iliyozingirwa ya Al-Awda iliyoko kaskazini mwa Gaza.

Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa X Dkt.Tedros amesema kuwa “Wahudumu wa afya ndani ya hospitali waliripoti shambulio mnamo tarehe 20 Mei, na washambuliaji wakilenga jengo na roketi ya risasi ikigonga ghorofa ya tano,”

Takriban wafanyakazi 148 na wagonjwa 22 na watu wanao wauguza wenzao wamesalia “wamekwama ndani” ya hospitali hiyo tangu Jumapili, Mkurugenzi Mkuu wa WHO aliongeza, kabla ya kutoa ombi la watu hao kupatiwa ulinzi.

WHO ikipeleka vifaa muhimu vya matibabu wakati ujumbe wa Umoja wa Mataifa wakiwa katika hospitali ya Al-Awda kaskazini mwa Gaza mapema mwaka huu. (Maktaba)

Athari ya agizo la watu kutakiwa kuondoka

Kwa mujibu wa WHO, ni karibu theluthi moja tu ya hospitali 36 zilizoko Gaza ndizo ambazo bado zinafanya kazi, na hali hiyo imeacha vituo vya huduma muhimu vya afya “kutoweza kufikiwa” na wagonjwa na wafanyakazi wa afya walioathiriwa na ghasia au maagizo ya kuhama.

WHO wamebainisha kuwa katika mji wa kusini wa Rafah, amri za jeshi la Israel kuwaambia Wagaza wahame zimeathiri zaidi ya vituo 20 vya matibabu, hospitali nne na vituo vinne vya afya ya msingi.

Kaskazini mwa Gaza, wakati huo huo, vituo 16 vya matibabu vimeathiriwa na vile vile vituo vitano vya afya ya msingi na Hospitali ya Kamal Adwan, pamoja na Hospitali ya Al-Awda.

Katika chapisho lake kwenye mtandao wa kijamii wa X siku ya Jumapili, Dkt.Tedros alitoa wasiwasi wake kuhusu ripoti za uhasama mkali katika eneo la Hospitali ya Kamal Adwan pamoja na mmiminiko wa wagonjwa waliojeruhiwa licha ya uwezo mdogo wa kuwatibu.

Takriban watu 900,000 wa Gaza wameondolewa

Katika tukio linalohusiana na hilo, ofisi ya uratibu wa misaada ya Umoja wa Mataifa, OCHA, iliripoti kwamba operesheni inayoendelea ya kijeshi ya Israel na amri za kuwahamisha watu zimeng’oa zaidi ya watu 900,000 katika wiki mbili zilizopita – hii ni sawa na watu waGaza wanne kati ya 10.

Hii inajumuisha watu 812,000 kutoka Rafah na wengine zaidi ya 100,000 kaskazini mwa Gaza, huku mamia kwa maelfu wakipitia hali mbaya ya maisha.

“Wadau wa kibinadamu wanaofanya kazi ya kutoa msaada wa makazi kwa watu huko Gaza wanaripoti kwamba hakuna hema na vifaa vichache sana vya makazi vilivyosalia kwa usambazaji,” OCHA ilisema.

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa2 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa5 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa4 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa6 days ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa3 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa4 weeks ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa4 weeks ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa1 month ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Magonjwa1 month ago

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake Karibu! Hapa kwa makala yenye taarifa muhimu kuhusu...

Magonjwa1 month ago

Vyanzo Vya Kifo cha Ghafla: Sababu Zinazotisha na Jinsi ya Kujikinga

“Vyanzo Vya Kifo cha Ghafla: Sababu Zinazotisha na Jinsi ya Kujikinga” Kifo cha ghafla ni janga lisilotarajiwa ambalo linaweza kumpata...

Trending