News
UGONJWA WA HOMA YA NGURUWE(afya ya mifugo)
AFYA YA MIFUGO
• • • • • •
UGONJWA WA HOMA YA NGURUWE(afya ya mifugo)
Ugonjwa wa homa ya nguruwe ni ugonjwa ambao husababishwa na vimelea vya magonjwa jamii ya Virusi na kushambulia Nguruwe.
Ugonjwa huu wa homa ya nguruwe umeua nguruwe wengi sana na kwa haraka zaidi kuliko magonjwa mengine katika maeneo mbali mbali ya dunia.
NB; Ugonjwa huu wa homa ya nguruwe hushambulia na kuathiri zaidi maeneo haya katika mwili wa nguruwe; Mfumo mzima wa damu, Mfumo wa chakula, pamoja na Mfumo wa upumuaji.
DALILI ZA UGONJWA WA HOMA YA NGURUWE NI PAMOJA NA;
1. Joto la mwili wa nguruwe kuwa juu sana au nguruwe kuwa na homa
2. Nguruwe kukosa kabsa appetite ya chakula, hivo hata ukimpa chakula nguruwe hataki kula
3. Vifo vya gafla kwa nguruwe wengi
4. Nguruwe kunyong’onyea sana
5. Nguruwe kutoa damu kwenye maeneo mbali mbali ya mwili wake kama vile masikioni,puani N.K
6. Nguruwe kulala lala kila mara
7. Nguruwe kupata shida ya upumuaji
8. Rangi ya ngozi kwa nguruwe kubadilika na kupauka zaidi
9. Nguruwe kuharisha kinyesi kilichochanganyika na damu
10. Eneo la matakoni kubadilika rangi na kuwa jekundu zaidi
11. Nguruwe kupatwa na hali ya kikohozi kila muda
MATIBABU YA UGONJWA WA HOMA YA NGURUWE
– Mpaka sasa bado hakuna tiba ya moja kwa moja kwa ajili ya kutibu ugonjwa huu, Matibabu ya homa ya nguruwe yapo katika kudhibiti dalili mbali mbali za ugonjwa huu.
-
Uzazi/Ujauzito6 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Uzazi/Ujauzito4 days ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Magonjwa5 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Magonjwa3 days ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani
-
Events7 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News5 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
afyatips19 hours ago
Madhara ya damu kuwa nyingi mwilini
-
Utafiti2 days ago
Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya-WHO