Magonjwa
CHANZO CHA NDOTO MBAYA USIKU UKIWA UMELALA(ni pamoja na chakula,soma hii..!!)
NDOTO USIKU
• • • • •
CHANZO CHA NDOTO MBAYA USIKU UKIWA UMELALA(ni pamoja na chakula,soma hii..!!)
Tafiti zinaonyesha kwamba ulaji wa chakula kingi na kizito kama ugali wakati wa usku, halafu ukalala muda huo huo upo kwenye hatari ya kuota ndoto nyingi usku. Soma hapa sababu.!!
Baada ya kula chakula kingi na kizito halafu ukaenda kulala husababisha kazi za kimetabolic kuongezeka sana pamoja na joto la mwili kupanda, hali ambayo inaongezea ubongo wako kufanya kazi sana ukiwa umelala, Kitendo hiki husababisha mtu kuota ndoto nyingi ikiwa ni pamoja na ndoto mbaya wakati wa usku.
USHAURI KWAKO;
– Epuka kula vyakula vizito na kwa kiwango kikubwa sana wakati wa usku
– Epuka kulala mara tu baada ya kula chakula, jaribu kukaa angalau nusu saa ndyo uende kulala
– Epuka kulala kifudifudi, kwani pia unaweza kupatwa na shida kama kupaliwa na mate N.k
– Epuka kuvaa nguo wakati umelala, jaribu kuupa mwili wako nafasi. Tafiti zinaonyesha watu wanaolala na nguo nzito na nyingi kama masweta,mikanda,nguo za kubana sana mwili N.K, huota zaidi wakati wa usku kuliko ambao hupenda kulala bila nguo.
KWA USHAURI ZAIDI AU ELIMU TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.
-
Uzazi/Ujauzito5 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Magonjwa4 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Uzazi/Ujauzito3 days ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Magonjwa7 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Magonjwa2 days ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani
-
Events6 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News5 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
Utafiti1 day ago
Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya-WHO