News
Orodha ya Magonjwa yenye Chanjo
![](https://afyaclass.com/mk_omb/uploads/2024/01/20240103_142011-scaled.jpg)
Hii ni Orodha ya Baadhi ya Magonjwa yenye Chanjo;
kwa Mujibu wa Shirika la Afya Duniani(WHO), magonjwa haya yana chanjo;
1. Ugonjwa wa Saratani ya Shingo ya Kizazi(Cervical cancer)
2. Ugonjwa wa Kipindupindu(Cholera)
3. Tatizo la Diphtheria
4. Ugonjwa wa Ebola
5. Ugonjwa wa homa ya Ini(Hepatitis B)
6. Ugonjwa wa Surua(Measles)
7. Ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo(Meningitis)
8. Mafua(Influenza)
9. Ugonjwa wa mumps
10. Ugonjwa wa kifaduro,pertusis,Diphtheria
11. Ugonjwa wa pneumonia
12. Ugonjwa wa Polio
13. Tatizo la Kichaa cha mbwa(Rabies)
14. Tatizo la Rubella
15. Tatizo la Rotavirus
16. Tatizo la pepopunda maarufu kama Tetenus
17. Homa ya matumbo au Typhoid
18. Ugonjwa wa homa ya manjano(yellow fever) n.k
WHO: Chanjo huweza kukulinda dhidi ya magonjwa kama vile:
✅Cervical cancer
✅Cholera
✅Diphtheria
✅Ebola
✅Hep B
✅Measles
✅Meningitis
✅Influenza
✅Mumps
✅Pertussis
✅Pneumonia
✅Polio
✅Rabies
✅Rotavirus
✅Rubella
✅Tetanus
✅Typhoid
✅Varicella
✅Yellow Fever
Vaccines protect against diseases like:
✅Cervical cancer
✅Cholera
✅Diphtheria
✅Ebola
✅Hep B
✅Measles
✅Meningitis
✅Influenza
✅Mumps
✅Pertussis
✅Pneumonia
✅Polio
✅Rabies
✅Rotavirus
✅Rubella
✅Tetanus
✅Typhoid
✅Varicella
✅Yellow FeverYes, #VaccinesWork💉! pic.twitter.com/joDTGdEuS5
— WHO African Region (@WHOAFRO) December 31, 2023
-
Magonjwa4 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Uzazi/Ujauzito2 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Elimu&Ushauri6 days ago
Afya za watu bilioni 1.8 duniani matatani kwa kutokufanya Mazoezi – WHO
-
Magonjwa1 day ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Events3 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
Uzazi/Ujauzito11 hours ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
News6 days ago
Mlipuko Mbaya wa homa ya nyani watokea tena KIVU KASKAZINI
-
News2 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani