Magonjwa
MAMBO 11 MUHIMU YA kuzingatia UNAPOKUWA NA SHINIKIZO LA JUU LA DAMU
MAMBO 11 MUHIMU YA kuzingatia UNAPOKUWA NA SHINIKIZO LA JUU LA DAMU
1.Ongeza kiasi/kiwango cha unywaji wa maji kila siku
2.Kula nyama isiyo na mafuta mengi au epuka kula vyakula vya mafuta mengi
3.Ongeza kula vyakula visivyokobolewa
4.Kula zaidi matunda, mboga za majani, karanga na maharage
5.Punguza vyakula vya viwandani vinavyoongezwa sukari nyingi
6.Punguza vyakula vyenye lehemu au kolesteroli nyingi
7.Acha kuvuta sigara na tumbaku za aina zote
8.Acha kunywa pombe
9.Dhibiti uzito wako, hakikisha una uzito unaopaswa kuwa nao kwa mjibu wa urefu wako
10.Punguza au epuka kabsa mfadhaiko,msongo wa mawazo au stress
11.Fanya mazoezi ya viungo hasa mazoezi ya kukimbia kila siku,kuruka kamba n.k
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.
-
Uzazi/Ujauzito5 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Magonjwa4 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Uzazi/Ujauzito3 days ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Magonjwa7 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Magonjwa2 days ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani
-
Events6 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News4 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
Utafiti21 hours ago
Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya-WHO