Magonjwa
MADHARA YA KUWA NA HASIRA KWA MUDA MREFU
HASIRA
• • • •
MADHARA YA KUWA NA HASIRA KWA MUDA MREFU
Katika hali ya kawaida binadamu wameumbwa na hasira ila hazitakiwi zikawa za muda mrefu kwani huleta madhara makubwa kwa mhusika.
MADHARA YA KUWA NA HASIRA KWA MUDA MREFU NI PAMOJA NA;
1. Kuwa katika hatari ya kupatwa na magonjwa ya moyo ikiwa ni pamoja na ugonjwa wa shambulio la moyo au kwa kitaalam Heart attack
2. Kuwa katika hatari ya kupata ugonjwa wa kiharusi(stroke)
3. Kupatwa na maumivu makali ya kichwa mara kwa mara
4. Kupatwa na tatizo la Vidonda vya tumbo
5. Kuwa na shida ya kukosa usingizi kabsa
6. Kupata shida ya maumivu makali ya tumbo
7. Kuwa na tatizo la presha
8. Kuwa na shida ya kuingiwa na woga au hofu ambayo hudumu kwa muda mrefu
9. Kubadilika mapigo ya moyo na kwenda mbio
10. Kusababisha hasara kubwa,vifo,majeruhi N.K
11. Kusababisha tatizo la Msongo wa mawazo
12.Kushusha kinga yako ya mwili
13. Kwa mama mjamzito madhara huweza kutokea hadi kwa mtoto aliyetumboni
Epuka tabia hii,jijengee tabia na mazoea ya kuwa mtu wa kukasirika na kusau ndani ya muda mfupi
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.
-
Uzazi/Ujauzito5 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Magonjwa4 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Uzazi/Ujauzito3 days ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Magonjwa7 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Magonjwa2 days ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani
-
Events6 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News4 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
Utafiti22 hours ago
Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya-WHO