News
Watoto walelewa pamoja na Sokwe
‘Nyumba ilikuwa na fujo sana’
Kunywa chai na sokwe na kutoka na mnyama mwingine kwa ajili matembezi ilikuwa sehemu ya maisha ya kila siku kwa familia ya Graham Clews.
Familia yake ilikuwa na wanyama wengi kiasi kwamba walifungua bustani ya wanyama nyumbani kwao Warwickhire, Uingereza, mwaka wa 1966.
Wanyama wadogo na nyani walilelewa ndani ya nyumba na watoto wa Graham walikua pamoja na watoto wa sokwe.
Ni Karibu miaka 40 sasa baada ya bustani yao ya wanyama kufungwa, sasa familia hiyo imebaki na masanduku ya picha na sehemu za magazeti yenye picha.
-
Uzazi/Ujauzito5 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Magonjwa4 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Uzazi/Ujauzito3 days ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Magonjwa7 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Magonjwa2 days ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani
-
Events6 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News4 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
Utafiti23 hours ago
Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya-WHO