News
Kesi za kipindupindu nchini Zambia zazidi 3,000
Kesi za kipindupindu nchini Zambia zazidi 3,000
Idadi ya kesi za kipindupindu nchini Zambia imeongezeka na kufikia 3,189 tangu mlipuko wa ugonjwa huo ulipotokea mwezi Januari mwaka jana 2023.
Mamlaka za afya nchini humo zimesema, ugonjwa huo uligunduliwa katika wilaya nne za mkoa wa Lusaka, na kuenea katika wilaya nyingine zilizo katikati ya nchi hiyo.
Jumatatu wiki hii, rais wa Zambia, Hakainde Hichilema alisema anajitahidi kuiwezesha Zambia kuwa kituo cha uzalishaji wa chanjo ya kipindupindu.
-
Magonjwa4 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Elimu&Ushauri6 days ago
Afya za watu bilioni 1.8 duniani matatani kwa kutokufanya Mazoezi – WHO
-
Uzazi/Ujauzito2 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Magonjwa1 day ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Events3 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
Uzazi/Ujauzito10 hours ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
News6 days ago
Mlipuko Mbaya wa homa ya nyani watokea tena KIVU KASKAZINI
-
News2 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani