News
Rekodi ya Mbwa Mzee Zaidi Duniani kuchunguzwa
Rekodi ya Mbwa Mzee Zaidi Duniani kuchunguzwa.
Mbwa wa Ureno aitwaye Bobi aligonga vichwa vya habari mwaka jana alipotawazwa kuwa mbwa mzee zaidi kuwahi kutokea duniani na Guinness World Records (GWR) – akiipiku rekodi ya awali iliyodumu kwa karne moja.
Bobi alifariki mwezi Oktoba akiwa na umri rasmi wa miaka 31 na siku 165.
Lakini sasa rekodi yake hiyo imetiliwa shaka, baada ya baadhi ya madaktari wa mifugo kutilia shaka ushahidi wa umri wa Bobi.
Bobi alikuwa mbwa wa aina ya Rafeiro do Alentejo ambao wana wastani wa kuishi miaka 12 hadi 14.
Maafisa wa Rekodi ya dunia ya Guiness (GWR) sasa wamesitisha taji hilo na kuanzisha uchunguzi upya.
-
Uzazi/Ujauzito5 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Magonjwa4 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Uzazi/Ujauzito3 days ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Magonjwa7 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Magonjwa2 days ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani
-
Events6 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News4 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
Utafiti21 hours ago
Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya-WHO