News
Zambia imepokea dozi milioni 1.4 za chanjo kwa ajili ya ugonjwa wa kipindupindu
![](https://afyaclass.com/mk_omb/uploads/2024/01/InCollage_20240117_133416142.jpg)
Zambia imepokea dozi milioni 1.4 za chanjo kwa ajili ya ugonjwa wa kipindupindu.
Zambia imepokea dozi milioni 1.4 za chanjo zitakazosaidia kupambana na ugonjwa wa kipindupindu uliolilikumba taifa hilo la Kusini mwa Afrika tangu mwezi Oktoba mwaka jana.
Umoja wa Mataifa umeidhinisha hizo. Kulingana na data za hivi karibuni zilizotolewa na wizara ya afya mjini Lusaka, mpaka sasa zaidi ya watu 365 wamekufa kutokana na ugonjwa huo na watu 418 wameambukizwa ugonjwa huo.
Muda wa kufunguliwa shule na vyuo umesogezwa mbele kutoka tarehe 8 Januari hadi tarehe 29 wakati serikali ikiendelea na juhudi zake za kupambana na ugonjwa huo.
-
Magonjwa4 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Elimu&Ushauri6 days ago
Afya za watu bilioni 1.8 duniani matatani kwa kutokufanya Mazoezi – WHO
-
Uzazi/Ujauzito2 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Magonjwa1 day ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Events3 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News6 days ago
Mlipuko Mbaya wa homa ya nyani watokea tena KIVU KASKAZINI
-
Uzazi/Ujauzito10 hours ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
News2 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani