Magonjwa
Ukambi ni ugonjwa gani,Soma hapa kufahamu
Ukambi ni ugonjwa gani?
Ukambi kwa jina lingine rahisi ni surua),ambapo ni ugonjwa wa kuambukiza unaoenezwa sana kupitia mgusano, Ugonjwa huu husababishwa na virusi vya jamii ya paramyxovirus.
Dalili za Ukambi ni Zipi
Ishara na dalili za kwanza kwa kawaida hujumuisha homa, ambayo mara nyingi huwa zaidi ya °C 40 (°F 104.0), kikohozi, mafua, na macho mekundu. Siku mbili au tatu baada ya dalili kuanza, madoa madogo meupe yanaweza kuonekana ndani ya kinywa yanayojulikana kama alama za koplik.
Chunusi nyekundu, zinazoanza kwenye uso kisha kuenea kwa mwili wote, kwa kawaida huanza siku tatu hadi tano baada ya mwanzo wa dalili,
Dalili kwa kawaida huwa siku 10–12 baada ya kutangamana na mtu aliyeambukizwa kwa siku 7–10.
Matatizo zaidi yanayotokana na ukambi hutokea kwa takriban asilimia 30% na yanaweza kujumuisha kuhara, upofu, kuvimba kwa ubongo, na nimonia miongoni mwa mengine.
Rubela na roseola ni magonjwa tofauti ingawa yanafanana na surua.
#Soma Zaidi hapa kuhusu Ugonjwa wa Surua
#Soma Zaidi kuhusu Rubela
-
Uzazi/Ujauzito5 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Magonjwa4 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Uzazi/Ujauzito3 days ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Magonjwa7 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Magonjwa2 days ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani
-
Events6 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News4 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
Utafiti22 hours ago
Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya-WHO