Events
Zaidi ya wanawake 100 wahukumiwa kifungo kwa kuwatuma watoto wao kuwa omba omba
Zaidi ya wanawake 100 wahukumiwa kifungo kwa kuwatuma watoto wao kuwa omba omba.
Mahakama nchini Uganda imewahukumu zaidi ya wanawake 100 kifungo cha mwezi mmoja kila mmoja baada ya kukiri kuwatuma watoto wao kuwa omba omba katika mji mkuu wa Kampala.
Mahakama hiyo pia imepiga marufuku wanawake hao kurejea mjini na kuamuru warudishwe kijijini kwao, gazeti la kibinafsi la Daily Monitor liliripoti.
Hata hivyo wanawake hao waliomba kuhurumiwa, huku wengine wakisema ni wajane na wengine ni mama wasio na wenza, gazeti la serikali la New Vision liliripoti.
Je, hatua ya namna hiyo itasaidia kupunguza watoto ombaomba mtaani?
-
Uzazi/Ujauzito6 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Uzazi/Ujauzito4 days ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Magonjwa5 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Magonjwa3 days ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani
-
Events7 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News5 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
afyatips19 hours ago
Madhara ya damu kuwa nyingi mwilini
-
Utafiti2 days ago
Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya-WHO